Visiontanzania Entrepreneurship Academy is a constituent of Visiontanzania Company Limited, founded in 2022 by Prof. Muyungi Octavius, the organization is dedicated to empower entrepreneurs. With a robust support system, it offers comprehensive training, mentorship, consultation and networking opportunities, it fosters Entrepreneurship, Innovation, Patriotism, and a thriving Entrepreneurial Spirit, shaping a generation of successful contributors to the economy.
Visiontanzania Entrepreneurship Academy, a branch of Visiontanzania Company Limited, was established in 2022 by Prof. Muyungi Octavius.
It's dedicated to comprehensive entrepreneurship support, the academy empowers aspiring and existing entrepreneurs, fostering innovation and patriotism. As led by Prof. Muyungi, it offers networking, expert mentorship & consultation, and practical training.
A hub for entrepreneurial development, the academy instills a sense of national pride and innovative entrepreneurship. Through programs, it aims to create a generation of successful entrepreneurs contributing to Tanzania's economic growth and Africa. In essence, since its 2022 inception, Visiontanzania Entrepreneurship Academy plays a pivotal role in shaping Tanzanians' entrepreneurial future and Africa as whole.
The Academy, is an international organization under Visiontanzania Company Limited, it collaborates with scholars, business owners, NGOs, universities, government, companies and entrepreneurs. Its goal is to empower individuals in starting or improving businesses, promoting entrepreneurship, innovation and patriotism.
By providing educational programs, industry connections, and advocacy, the academy equips entrepreneurs with essential skills. It also bridges the gap between entrepreneurs - Capital or funds sources, entrepreneurs and regulatory authorities, Entrepreneurs - Market centres, striving to create a supportive business environment.
We appreciate you. Don't hesitate to write us below your thoughts, what you have learned, what you are excited about or suggestions you have for #visiontanzania...
Congratulations to Visiontanzania Entrepreneurship Academy for empowering innovative entrepreneurs with a sense of self-employment and instilling a deep sense of national pride. Your commitment to fostering creativity and business acumen is truly commendable, contributing to the growth and prosperity of both individuals and the nation. Here's to continued success in cultivating the spirit of entrepreneurship! I wish this to be established in Uganda πΊπ¬ tooπ
I appraise your vision. It is clear and all you do are focused in entrepreneurship, how can I join this beautiful organization please? Is this a company, College, Non governmental organization orv what is this, surely I'm impressed with your vision I wish to join you I'm from Kahama, Shinyanga
Thanks for Commenting at Visiontanzania, Please Share These useful materials to your friendsππ Asante, Regards, System Administrator, Visiontanzania, +255747787796 +255673787796
Read English ¶¬View All computer shortcuts ⏪ MAMBO MUHIMU AMBAYO KIJANA ANATAKIWA KUFANYA N a Prof. Muyungi & Monica Mathias Katika maisha ya binadamu hakuna kipindi kigumu sana kama kipindi cha miaka 20 mpaka 30 kipindi hiki ndio kipindi chenye utata, hapa kijana anaweza kujenga maisha yake au kuyabomoa na walio wengi wanaanguka hapa, lakini pia wengi huanza kufanikiwa kuanzia hapa wote kutegemeana uwezo wao na maono yao yalivyo. ikumbukwe katika miaka 20-30 kijana ndipo anakuwa anamaliza elimu ya sekondari, ndipo ana anakuwa chuo kikuu , ndipo anaingia kwenye mahusiano ya mapenzi , ndipo anahitimu chuo kikuu, ndipo anaangaika kutafuta ajira , ndipo ana kuwa na mchumba pia ndio kipindi wengine huanza maisha ya kujitegemea kuacha familia za wazazi, wengine hufunga ndoa hapa, pia hiki ni kipindi kijana anaanza kutegemewa na familia ya wazazi wake na jamii. Kwakweli kipindi hiki sio cha mchezo ni kipindi cha kutumia akili nyingi na ushauri mwingi. Wanao ki...
By Prof. Muyungi Visiontanzania Entrepreneurship Academy is an entrepreneurial platform that deals with Creative imagination, Business Plan methodologies, Business Capital structuring, Business idea formulation, implementations and funding, Leadership skills, Managerial Economics, Business Management, Strategic Management and planning, Computer skills Plus other more. Click below to apply for membership Now!! CLICK HERE TO APPLY Kindly to apply for membership, fill the online form with your correct information ♂️MENU π΄ HOME PAGE π΄ ENTREPRENEURIAL POSTS π΄ CONSTITUTION π΄ ONLINE APPLICATION π΄ UPDATES π΄ PHILOSOPHY π΄ PHOTOS π΄ VIDEOS π΄ CONTACT US
Below are our website contents, Just Click on blue item to select. We ask you to give comments and share links of our works to your friends. Welcome to Visiontanzania π MENU π΄ HOME PAGE π΄ ENTREPRENEURIAL POSTS π΄ CONSTITUTION π΄ ONLINE APPLICATION π΄ UPDATES π΄ PHILOSOPHY π΄ PHOTOS π΄ VIDEO π΄ PRAYERS | SALA π΄ CONTACT US ¶¬View All computer shortcuts ⏪ Prof. Muyungi's Function of success➡️ HERE Regards, Prof. Muyungi, Octavius +255747787796 Visiontanzania
MAFANIKO YAKO NI FURAHA YAKO N a Prof. Muyungi & Monica Mathias "We are born for winning, never for losing" Mohammed Dewij . Hakuna binadamu Yeyote aliyeko duniani kwa bahati mbaya! Kila mtu yupo kwa sababu maalumu tofauti na mwingine ndio maana kila mtu ana finger print" ya kitofauti kabisa! Na hivyo hii inaashiria wewe una lengo lako la kuwepo Dunian tofauti kabisa na mtu mwingine yeyote yule. (Ni kwa namna gani unauishi utofauti wako? utofauti wako ni nini? una uhakika gani katika hilo? usiteseke nitakufunulia yote hapa, umezaliwa kwa ajili ya ushindi. Mafanikio ni hatua ambayo mtu huwa amefikia ukamilifu wa natarajio yake katika jambo fulani, ambapo hatua hii umwezesha kuwa na furaha na ukamilifu kimwonekano (physically) na kifikra (mentally) na Kiroho (spiritually). Duniani kila mtu anataka kufanikiwakufurahi na hivyo kila mtu hujishughulisha katika jambo flani ili aweze kufanikiwa na kupata furaha. Watu wengi wameshindwa kufikia mafaniko yao kwa...
MPAMBANAJI MSHINDI N a Prof. Muyungi & Monica Mathias '' Mstakabali wa maisha ya mtu huwa ni kwa namna gani umelelewa '' Ni huzuni sana Flaviana Matata alimpoteza mama ake mpendwa katika hajali ya MV BUKOBA iliyotokea 1996, kwakweli hili lilikuwa pigo kubwa sana kwake na ilionekana ingekuwa sababu ya kupoteza matumaini kwenye maisha kwa hiyo alilelewa na baba tu na kuyakosa mapenzi ya mama. alisoma chuo cha Arusha [Arusha Technical College] Aliwaza kuwa injinia lakini kwa sababu ya maisha magumu mwaka 2007 alianza umisi na ndoto ya uinjinia ikafa. iliwashangaza sana watu kuona mtu aliyewaza uinjinia anaanza umisi lakini ndiyo iliyo kuwa ndoto yake kubwa tangu zamani. Visiontanzania imekuletea maisha ya mwanadada hasa kwa wapambanaji wote wanaotaka kufanikiwa , kuona ni namna gani mafanikio ya kweli yanaweza kuja, mwanadada huyu awe mfano wa kuigwa na kila mtu apate kujipongeza kwa kutoa mchango wa maendeleo nchini kwake . ...
N a Prof. Muyungi & Monica Mathias ''Nilishona viatu kariakoo, Nililala kibarazani''-- Bakhresa , Ndugu mwanafamilia kumbe kwenye maisha kila kitu kinawezekana, kamwe usimdharau Mtu, hata kama leo anafanya kazi ya chini kiasi gani! kwakweli, tumeamini mambo yanabadirika, mtu unayemcheka na kumsimanga leo kwenye tasisi / kiwanda baada miaka ndo atakuwa boss wako. huwezi amini Bakhresa miaka ya 1957 aliyeonekana masikini wa kupindukia mpaka akaamua kuacha shule akiwa na miaka 14 lakini leo 2020 watu zaidi ya 5,000,000 [Milioni 5] katika nchi 5 wanategemea makampuni yake ili kuendelea kuishi! Mpendwa mwanafamilia wa Visiontanzania sisi ndio tunaojali mafanikio yako, siku ya leo tumekuletea bilionea orijino wa kitanzania ambaye maisha yake yalikuwa magumu vibaya sana, yahani ambaye nyumbani kula ilikuwa bahati nasibu kwa miaka ya 1950, lakini kwa leo ni moja ya mashujaa 3 kati ya watanzania zaidi ya 59,000,000 (Milioni 59) Tanzania, ana makampuni zaidi...
MAMBO YALETAYO FURAHA YA KWELI N a Prof. Muyungi & Monica Mathias ''Dunia ni mapito'' Prof. Muyungi, Duniani kote kila mtu huishi mara moja tu hakuna mtu yeyote aliyewahi kufariki alafu akazaliwa tena, ukimuuliza mtu yeyote maana ya maisha uwezi kamwe kupata jibu moja ila kwa ufupi maisha yako yapo akilini mwako kwahiyo unavyo yaona ndivyo yalivyo,na unachowaza na kufanya ndicho kinayafanya maisha yako kuwa hivyo. unaweza kusema maisha magumu hamna hela lakini ukiangalia kwenye vyombo vya habari utasikia msanii fulani kanunua Ghorofa la Bilioni tatu yaani wakati wewe uko hoi hata milioni 10 ni ya kufikirika, kwa hiyo hatuwezi kuwa na maana MOJA ya maisha Katika makala ijayo tutakuonyesha thamani ya maisha yako, utajiri ulio nao, sababu za ushindi wako....n.k Furaha ndio msingi mkubwa wa maisha ya Mtu yeyote, na hivyo shughuli zote unazofanya lengo lake ni kupata furaha na sio vinginevyo mfano mtu anakuwa dactari ili afurahi, anakuwa injinia ili afurahi, ...
BILIONEA MBUNIFU ZAIDI WA KICHINA N a Prof. Muyungi & Monica Mathias ➻ Jack Ma hakuwa mtu mwenye akili nyingi sana , alikataliwa alidharaulika, alichekwa sana katika maisha yake ya mwanzoni, lakini leo hii ukiwa unahesabu matajiri wakubwa Duniani ni kosa la jinai kumsahau Jack Ma bila shaka wewe kama ni mtumiaji wa internet basi wewe sio mgeni kusikia neno 'ALIBABA' Leo hii ni moja ya makampuni 20 makubwa sana Duniani, mwanzilishi na mmiliki ni Jack Ma Kumbuka China ina zaidi ya Raia Bilion 1.3 yaani 1,300,000,000 na Jack Ma ndo Tajiri namba moja hapo sasa ujue alitumia ubunifu kiasi gani............ ⟴ Visiontanzania Imekuletea historia ya Bilionea huyu ili kukuonyesha mtu anayetafuta kufanikiwa maishani namna gani inabidi awe, tukiwa na maana utajiri / mafanikio ya kweli hayaji kwa bahati nasibu, πKaribu sana tuna matumaini utajifunza kitu. Kama unataka kufanikiwa huna budi kufatilia historia za watu waliofanikiwa. ΰ―« ...
ISHI NDOTO ZAKO LEO N a Prof. Muyungi & Monica Mathias Watu wote Duniani uwa na mawazo tofauti tofauti, na hivyo watu huwa na matamanio ya kumiliki vitu fulani fulani, au kuwa katika vyeo na hali fulani, mfano mtu anaweza kuwa na matamanio ya kuwa mwanamziki mkubwa, kuwa kio ngozi mkubwa, kumpata mchumba mwema, kumiliki magari ya kifahari, kuwa na nyumba nzuri, kuwa saidia watu wasiojiweza, kuwa na mpenzi mwaminifu n.k chini ya 15% ya watu wote duniani, ndio walioweza kuwa na matamanio ya vitu mbali mbali vikubwa na hatimaye wakayafikia matamanio yao yahani NDOTO zao kwa wakati sahihi, ila watu walio wengi duniani matamanio yao huyafikia kwa taabu sana na wengi wao huishia katika matamanio tu, kwa sababu ya kushindwa kujua nini la kufanya na namna gani ya kufanya na wakati gani, na hivyo hiyo kuwa sababu ya watu wengi kushindwa kufikia ndoto zao. Ndugu, Visiontanzania imekuletea njia kuu tatu ambazo ukiweza kuziishi utaweza kufikia ndoto zako mapema sana kw...
Congratulations to Visiontanzania Entrepreneurship Academy for empowering innovative entrepreneurs with a sense of self-employment and instilling a deep sense of national pride. Your commitment to fostering creativity and business acumen is truly commendable, contributing to the growth and prosperity of both individuals and the nation. Here's to continued success in cultivating the spirit of entrepreneurship! I wish this to be established in Uganda πΊπ¬ tooπ
ReplyDeleteWow! Dear Ms. Sonia Ndimugwanko, its honor having you here. Thank you for big suggestion, hope to reach you!!
DeleteI appraise your vision. It is clear and all you do are focused in entrepreneurship, how can I join this beautiful organization please? Is this a company, College, Non governmental organization orv what is this, surely I'm impressed with your vision I wish to join you I'm from Kahama, Shinyanga
ReplyDeleteThank you for willing to join us. Kindly follow this link
Deletehttps://visiontanzania2022.blogspot.com/p/online-application_15.html?m=1
or contact as via the contact page / Instagram/Facebook: @visiontanzania2022
+255673787796
+255747787796
This is a Non Governmental Organization originating in Tanzania.
DeleteThank you Mr. Joel, Happy to hear from you. Keep with usπΉπΏ
ReplyDelete